Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yawabana wachezaji wake

Jumatano , 20th Feb , 2019

Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Simba, inajaribu kupambana kwa kila namna kuhakikisha inakwenda sambamba na ratiba ya viporo vyake ili ifanye vizuri.

Kikosi cha Simba

Baada ya mchezo wake dhidi ya African Lyon jana jijini Arusha, tayari timu hiyo imerejea jijini Dar es salaam na hakuna kupumzika ambapo jioni ya leo kikosi kinaanza mazoezi tayari kwa mchezo ujao dhidi ya Azam FC.

Taarifa ya Simba imefafanua kuwa, ''Kikosi chetu tayari kimerejea jijini Dar es Salaam, na leo jioni kitaanza mazoezi kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu''.

Simba inakabiliwa na michezo mfululizo ya ligi kuu pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo baada ya kumalizana na African Lyon sasa inaisubiri Azam FC 22/02/2019.

Baada ya mchezo huo kesho yake inasafiri kwenda Iringa na inakuwa na siku 2 za mazoezi ambapo itacheza 26/02/2019 dhidi ya Lipuli FC.

Kisha itaunganisha kwenda Shinyanga na itakuwa na siku 2 tu za mazoezi kabla ya 03/03/2019 kuivaa Stand United.

Baada ya mechi hiyo Simba itarudi Dar es salaam kwa ajili ya maandalizi ya safari ya kwenda Algeria 06/03/2019 ambapo itasafiri kwenda kucheza na JS Saoura Machi 9/2019.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA