Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yazidi kuisogelea Yanga, mbio za ubingwa VPL

Jumatano , 21st Apr , 2021

Mabingwa wa Tanzania bara klabu ya simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliochezwa katika dimba la kaitba huko Bukoba mkoani kagera.

Mshambuliaji wa Simba Luís Miquissone akishangilia baada ya kufunga goli

Mabao ya wekundu wa msimabazi Simba yamefungwa na Luís Miquissone dakika ya 13 na Chris Mugalu dakika ya 24. kwa ushindi huu Simba inafikisha alama 55 ikiwa ni tofauti ya alama mbili na vinara wa ligi Yanga wenye alama 57, wakati Kagera Sugar wanasalia nafasi ya 15 wakiwa na alama 27.

Michezo mingine ya VPL iliyochezwa leo, mchezo wa mapema ulichezwa Saa 8:00 Mchana klabu ya Ruvu Shooting iliibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Mwadui FC  mchezo uliochezwa katika dimba la Mabatini mkoani Pwani, kwa ushindi huo Ruvu wanafikisha alama 37 wakiwa nafasi ya sita kwenye msimamo, na Mwadui wanaendelea kuburuza mkia katika nafasi ya 18 wakisalia na alama 16.

Na klabu ya Mbeya City imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wao Polisi Tanznaia kweye mchezo uliochezwa mjini Moshi, Kilimanjaro ktika dimba la Ushirika. Bao pekee la mchezo huo limefungwa na Kibu Denis dakika ya 52 na kuipa Mbeya City alama zote tatu, kwa mujibu wa msimamo Mbeya City inafikisha alama 24 wakipanda kwa nafasi moja kutoka ya 17 hadi 16, wakati Polisi wapo nafasi ya 9 na alama 34.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA