Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sina timu mpaka sasa - Hassan Isihaka

Jumatano , 27th Jul , 2016

Beki na nahodha wa zamani wa klabu ya Simba, Hassan Isihaka ametamka kuwa kwa sasa hana timu ya kuichezea, hivyo kwa sasa yupo nyumbani.

Nahodha wa zamani wa klabu ya Simba, Hassan Isihaka

Isihaka ambaye alitengeneza ukuta imara akiwa Simba akishirikiana na Mganda, Juuko Murshid, ametemwa katika kikosi cha Simba ambacho kimejichimbia mkoani Morogoro chini ya kocha wake Mcameroon, Joseph Omog kikijiandaa na msimu ujao wa ligi kuu.

Beki huyo anayechipukia alisema kuwa mpaka sasa amekuwa akikaa nyumbani kutokana na kutemwa na timu yake hiyo ambapo hakuna timu yoyote ile iliyomfuata kwa nia ya kumsajili.

“Nipo nyumbani tu, sina timu yoyote ya kuichezea mara baada ya kutemwa na Simba ambapo mpaka sasa hakuna timu yoyote ile ambayo imenifuata kwa ajili ya kunisajili kwa msimu ujao".

Hata hivyo Isihaka bado hajakata tamaa kutokana na kuwa baadhi ya timu bado zinaendelea na usajili hivyo anatumaini mambo yatakaa vizuri kabla ya dirisha la usajili kufungwa.

“Sijajua hatma yangu itakuwaje msimu ujao kwa sababu sina timu lakini naamini mambo yatakuja kukaa vizuri kabla ya dirisha la usajili kufungwa, timu zitakuja tu,” alisema Isihaka.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu