Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida United ni kiboko, yasajili kikosi kizima 

Ijumaa , 17th Jan , 2020

Ikiwa ziimepita siku mbili tangu dirisha dogo la usajili Tanzania kufungwa, tumeshuhudia klabu kadhaa zikifanya mabadiliko ya vikosi yao kwa kuongeza baadhi ya wachezaji na kuwaleta wengine wa kuziba nafasi hizo.

Baadhi ya wachezaji wa Singida United

Klabu kubwa za Tanzania, Azam FC, Yanga na Simba zimefanya mabadiliko kadhaa ya vikosi vyao, ambapo Yanga imesajili wachezaji sita wapya, Simba ikisajili wachezaji wawili na Azam FC ikisajili wachezaji wawili.

Klabu ya Singida United imetia fora kwenye dirisha hili la usajili, ikiwa imesajili jumla ya wachezaji 11 ili kuongeza nguvu kwenye kikosi chao baada ya kugundua kuwa katika mzunguko wa kwanza kikosi chao kilikuwa dhaifu kwani kilikuwa na vijana wengi.

Wachezaji waliosajiliwa na Singida United ni George Sangija, Raphael Daud, Haruna Moshi Boban, Tumba Swedi, Haji Mwinyi, Owen Chaima, Ame Ally, Six Mwasekaga, Athumani Idd Chuji na Cleofas Sospeter.

Singida United iko katika nafasi ya 19 ya msimamo wa ligi kwa pointi 11, ikiwa imeshuka dimbani mechi 16 na kushinda mechi mbili pekee, ikifungwa mechi tisa na droo tano. Ikumbukwe kuwa msimu huu zitashuka jumla ya timu sita za ligi kuu huku zikipanda timu mbili pekee, kwakuwa msimu ujao ligi kuu Tanzania Bara itahusisha timu 16.

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava