Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Singida United yaingiza Waserbia

Jumamosi , 12th Jan , 2019

Uongozi wa klabu ya Singida United umewatambulisha rasmi makocha wake kwaajili ya kuimarisha benchi lake la ufundi.

Mkurugenzi wa Singida United, Festo Sanga akiwatambulisha makocha wapya

Maamuzi hayo yametolewa katika mkutano na waandishi wa habari  ambapo imewatangaza makocha hao wawili raia wa Serbia.

Katika taarifa yake rasmi kupitia ukurasa wa Twitter, Singida United imeandika, "uongozi wa klabu hii leo umeamua kuimarisha benchi la ufundi kwa kuwaajili makocha wawili ambao ni raia wa Serbia na wamewahi kufanya kazi hapa nchini kwa mafanikio makubwa. Kocha Mkuu: Popadic Dragan, Kocha Msaidizi: Dusan Momcilovic".

Hatua hiyo imekuja baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Morocco kuachana na klabu hiyo kutokana na sababu ambazo hazikuwekwa wazi na uongozi wa klabu.

Singida United inajiandaa kushiriki michuao ya Sport Pesa Super Cup pamoja na ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Katika ligi kuu, Singida United inashika nafasi ya 11 ikiwa na pointi 24.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava