Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Solskjaer asaini mkataba mpya, ajivunia kikosi

Jumamosi , 24th Jul , 2021

Kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer amesaini Mkataba wa miaka mitatu wa kuendelea kukinoa kikosi hicho cha mashetani wekundu mpaka mwaka 2024, mkataba huo ukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi.

Ole Gunnar Solskjaer

Solskjear alitangazwa kuwa kocha wa muda wa Manchester United Disemba 2018 akichukua nafasi ya kocha Jose Mourinho kabla ya mwezi Machi 2019 kutangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa kikosi hicho kwa mkataba wa miaka mitatau (3) mkataba ambao ulikuwa unamalizika mwishoni mwa msimu wa 2021-22.

Baada ya kusaini mkataba mpya kocha huyo raia wa Norway amesema

“Kila mtu anajua hisia zangu kwa klabu hii, na ninafurahi kusaini mkataba mpya. Ni wakati wa furaha kwa Manchester United, tumeunda kikosi kilicho na usawa mzuri wa vijana na wachezaji wazoefu ambao wana njaa ya mafanikio”.

Ole Gunnar bado hajashinda kombe hata moja akiwa na kikosi hicho na amekiongoza kwenye michezo 151 kwenye mashindano yote aameshinda michezo 86, sare michezo 34 huku michezo aliyopoteza ni 33, wastani wake wa ushindi ni asilimia 55.63.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto