Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Stars yabadili kikosi kuivaa Burundi

Jumanne , 28th Mar , 2017

Kikosi cha kwanza cha Taifa Stars kitakachoivaa Burundi katika mchezo wa kirafiki hii leo kimewekwa hadharani, huku kikionesha mabadiliko kadhaa katika baadhi ya idara ikilinganishwa na kile kilichoanza kuivaa Botswana siku ya Jumamosi.

Wachezaji wa Taifa Stars katika mazoezi

Katika kikosi cha leo, langoni anasimama Deogratius Munishi 'Dida' badala ya Aish Manula aliyeanza katika kikosi kilichopita huku katika nafasi ya ulinzi akiingia beki wa kati Salum Mbonde badala ya Erasto Nyoni ambaye alipigiwa kelele na mshabiki wa soka nchini kwa madai ya kutokuwa fiti.

Katika safu ya kiungo wa kati leo wataanza Himid Mao na Mzamiru Yasin ambapo Mzamiru anachukua nafasi ya Frank Domayo aliyenza katika kikosi kilichopita.

Viongo wa pembeni ni Farid Musa na Saimon Msuva, ambapo Farid amempumzisha Shiza Kichuya ambaye alionekana kutokuwa fiti katika mchezo uliopita.

Mwingine ambaye katika mchezo wa leo anaanza katika kikosi cha kwanza ni Salum Aboubakary, ambaye atakuwa msaidizi wa mshambuliaji pekee Ibrahim Ajibu. Salum anachukua nafasi ya Ajibu huku Ajibu akichukua nafasi ya nahodha Mbwana Samatta katika kikosi kilichopita.

Kikosi kamili hiki hapa

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto