Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Stori ya ndani kuhusu nyota wanne wa Tottenham

Jumanne , 30th Apr , 2019

Kuelekea nusu fainali ya kwanza ya Klabu bingwa Ulaya leo kati ya Tottenham na Ajax, hawa ndio nyota wanne waliochezea hizi timu mbili lakini kwasasa wapo Tottenham.

Wachezaji Christian Eriksen, Davinson Sánchez, Jan Vertonghen na Toby Alderweireld.

Moja ya nyota hao ni kiungo Christian Eriksen ambaye yeye alianza soka lake katika klabu ya Ajax mwaka 2010 hadi 2013 ambapo alitimkia katika klabu ya Tottenham.

Eriksen ametumia uzoefu wake wa kuwa na Ajax kuwatahadharisha wenzake wa Tottenham kuwa wapinzani wao hawana uoga na timu yoyote na huo ndio utamaduni wao wa kucheza soka la kujiamini wakiwa nyumbani ama ugenini.

Wachezaji wengine ambao wapo Tottenham na walianzia Ajax ni Davinson Sánchez  mwaka 2016 hadi 2017, Jan Vertonghen 2006 hadi 2012 na Toby Alderweireld 2004 hadi 2008.

Mchezo wa leo unapigwa kwenye uwanja wa Tottenham kabla ya mkondo wa pili kupigwa huko Uholanzi. Katika hatua ya mtoano Tottenham waliitoa Tottenham na robo fainali wakaitoa Man City. Ajax walizitoa Real Madrid na Juventus.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava