Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tamko la Simba dhidi ya Al Ahly kesho

Alhamisi , 8th Apr , 2021

Afisa mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Barbara Gonzalez amesema licha ya kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu bingwa Afrika, lakini mchezo wao wa kesho Aprili 9, 2021 dhidi ya Al Ahly ya Misri utakuwa ni wa kupambana kupata matokeo mazuri ili kulinda heshima.

Afisa Mtendaji wa klabu ya Simba, Barbara Gonzalez.

Barbara amesema “Cha msingi mechi yetu ya Ijumaa ni mechi ya heshima ni kweli tumeingia robo fainali lakini tunahitaji kutoka na alama hapa Cairo tutalinda heshima yetu na kulinda ukubwa na uzito wa timu yetu na pia inawatengeneza soka la wachezaji wetu”

“Cha msingi wachezaji wapambane kama fainali” Akamalizia Barbara.

Simba ambao ni wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika, itacheza mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Al Ahly Ijumaa ya kesho ikitaraji kuwa saa 2:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki kwenye dimba la Al Salaam ni si uwanja wa Cairo International.

(Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi kwenye uwanja wa Al Salaam nchini Misri usiku wa jana.)

Akizungumzia mabadiliko hayo ya uwanja, CEO amesmea:

“Leo tumeongea na mratibu mkuu ametoa sababu kwamba kwenye uwanja wa Cairo, klabu ya Zamalek watakuwa na mchezo Jumamosi uwanja wa Cairo , siku moja kabla ya mechi lazima waufanyie mazoezi maalum.

“Kwahiyo walikubaliana kwa pamoja nani atacheza wapi na Al Ahly wameamua na watu wa CAF wahamie uwanja wa Al Salaam ili kusiwe na mgongano kwenye kufanya mazoezi”

Simba ni kinara wa kundi lake, kundi A akiwa na alama 13, Al Ahly ipo nafasi ya pili ikiwa na alama 8 zote zikiwa zimefuzu ilhali AS Vita ya DR Congo ipo nafasi ya tatu ikiwa na alama 4 na Al-Merrik inashika mkia ikiwa na alama 2 huku zikishindwa kufuzu robo fainali.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava