Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania kucheza na timu za Ulaya na Amerika

Jumanne , 13th Mar , 2018

Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF leo limetangaza kuwa timu ya Taifa ya Vijana wenye umri chini ya miaka 13 (U13) inatarajiwa kushiriki michuano ya vijana inayoandaliwa nchini Ubeligji.

TFF imeeleza kuwa michuano hiyo itashirikisha timu za vijana za nchi zaidi ya 10 kutoka mataifa mbalimbali na itafanyika mwezi Agosti, 2018 nchini Ubeligji.

Michuano hiyo inatarajia kukusanya timu za vijana kutoka taifa moja la bara la America ya Kusini, Asia pamoja na zingine za Ulaya huku Africa ikiwa Tanzania pekee ndio imepata mwaliko huo.

Taarifa ya TFF imeeleza kuwa michuano hiyo ni maalum kwa kuwajenga wachezaji hao kwaajili ya soka la kulipwa, ambapo wanapata fursa ya kukutana na mawakala wa wachezaji na timu mbalimbali hivyo inaweza ikafungua milango kwa vijana wa Tanzania.

Timu mbalimbali za taifa za vijana kuanzia miaka 13, 16 na 20 zipo kambini kwaajili ya michuano tofauti tofauti ambapo Serengeti Boys inajiandaa na michuano ya CECAFA kwa vijana itakayofanyika Burundi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava