Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Tanzania ni ya pili baada ya Nigeria'' - Fissoo

Jumamosi , 24th Mar , 2018

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo amewataka Watanzania kutumia vizuri fursa za masoko ya filamu kwaajili ya kujiingizia kipato kwasababu Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa filamu Africa ikitanguliwa na Nigeria.

Akiongea kwenye kikao na wadau wa filamu mkoani Shinyanga Bi. Fissoo amesema ni lazima waigizaji watumie fursa zinazotengenezwa na Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo kwenye eneo la masoko ya filamu.

''Tunapozungumzia filamu Tanzania ni ya pili baada ya Nigeria, na ukizungumzia Tanzania pia Shinyanga ipo ndani yake kwahiyo hii ni fursa kwenu ambapo bodi ya filamu na Wizara zinashirikiana kuhakikisha kazi za sanaa zinapata masoko'', amesema.

Aidha Katibu Mtendaji huyo wa bodi ameweka wazi kuwa Bodi hiyo imekuwa ikifuatilia kila hatua ya wasanii ndio mana siku za hivi karibuni ilimlipia tiketi ya ndege msanii mkongwe wa filamu Monalisa kwenda kwenye sherehe za Tuzo huko nchini Ghana.

Monalisa alichaguliwa kuwania tuzo ya mwigizaji bora wa kike Afrika kwenye tuzo za The African Prestigious Awards zinazotolewa nchini Ghana. Msanii mwingine ni Vicent Kigosi maarufu Ray ambaye naye alikuwa anawania kipengele cha mwigizaji bora wa kiume.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto