Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yapanda nafasi 6 viwango vya FIFA

Alhamisi , 4th Apr , 2019

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imefanikiwa kupanda nafasi sita katika listi ya viwango vya Shirikisho la Soka Duniani FIFA vya mwezi April.

Taifa Stars

Katika viwango hivyo, Taifa Stars imepanda kutoka nafasi ya 137 mwezi uliopita hadi nafasi ya 131 mwezi huu.

Kuongezeka kwa nafasi hizo kumetokana na mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi kuwania kufuzu fainali ya AFCON dhidi ya Uganda, Machi 24, ambapo Taifa Stars ilishinda kwa mabao 3-0.

Ukiachana na Taifa Stars, nchi nyingine ya Afrika Mashariki ambayo imeongeza nafasi katika listi hiyo ni Burundi ambayo imepanda nafasi mbili hadi nafasi ya 136 kutoka nafasi ya 134 mwezi uliopita, huku timu timu ya taifa ya Uganda ikishuka kwa nafasi mbili hadi nafasi ya 78.

Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania

Timu ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars' imeshuka nafasi mbili nyuma hadi nafasi ya 108, Rwanda ikishuka nafasi tatu hadi nafasi ya 138 huku Sudani Kusini ikishuka kwa nafasi tatu hadi nafasi ya 167.

Bonyeza hapa chini kutazama. 
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava