Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAVA Walia na Udhamini

Jumatano , 2nd Jul , 2014

Chama cha mpira wa wavu nchini Tanzania (TAVA) kimewataka wadau wa michezo hapa nchini kujitokeza kusaidia kwa kuudhamini mchezo huo ili kuutangaza na kufanya utambulike katika ngazi ya kimataifa.

Wachezaji wawavu wakifanya Mazoezi

Chama cha mpira wa wavu nchini Tanzania (TAVA) kimewataka wadau wa michezo hapa nchini kujitokeza kusaidia kwa kuudhamini mchezo huo ili kuutangaza na kufanya utambulike katika ngazi ya kimataifa.

Akizungumza na Muhtasari wa Michezo wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya walimu wa mchezo huo kutoka shule za msingi, Sekondari na Vyuo vikuu hapa nchini, Katibu mkuu wa Chama cha Wavu Nchini (TAVA) Alen Alex amesema timu nyingi zinashindwa kufanya vizuri katika mashindano mbali mbali yakiwemo ya kimataifa kutokana na kukosa maandalizi ya kutosha, ufadhili pamoja na vifaa.

Alex amesema mafunzo hayo yameudhuriwa na walimu wa mchezo huo kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania wakiwa na lengo la kuukuza mchezo huu kwa kuanzia kwa vijana lakini kama wadhamini hawatajitokeza haitasaidia kukuza vipaji hivyo.

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi