Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFF yatoa maelezo matumizi ya Bil 2.3 za FIFA

Alhamisi , 14th Mei , 2020

Katibu Mkuu wa TFF Kidao Wilfred amesema Shirikisho la soka Duniani FIFA, kila mwaka wanaipa Tanzania Bil 2.3 ambazo hutoka kwa awamu mbili yaani Januari na Julai na huwa unafanyika ukaguzi wa matumizi ya awamu iliyopita kabla ya kupewa tena.

Katibu Mkuu wa TFF Kidao Wilfred

Akiongea kupitia TFF TV leo Mei 14, 2020, Kidao amesema taarifa za matumizi mabaya ya fedha hizo zinazosambazwa si za kweli kwani fedha hizo hutolewa kwa kuzingatia vigezo na masharti.

''Moja ya masharti makubwa ya kupata fedha hizo ni kuwa na timu imara za taifa na ziwe zimecheza mechi za kimataifa zisizopungua 4, na hapa ni kwa timu zote ya wanaume, wanawake, U17, U20 na pia uwe na mfumo wa kisasa wa usajili #FifaConnect'', amesema.

Aidha Kidao amefafanua kuwa, ''Hizi fedha dola laki tano zinazosemwa zimeliwa ni zile ambazo ni awamu ya pili ya Bil 2.3 za kila mwaka, kilichobadilika mwaka huu Rais wa FIFA ameamua kuzitoa kabla ya Julai kwasababu ya janga la Corona ili kusaidiia mashirikisho''.

Pia amemshukuru Rais Magufuli kwa jinsi ambavyo amekuwa mstari wa mbele kuwasaidia kwenye kila jambo.

''Tunamshukuru sana Rais Magufuli kwa mchango wake wa Bil.1 kwenye maandalizi ya AFCON ya vijana, alitusaidia sana maana kwa kipindi hicho ilikuwa ngumu kutafuta vyanzo vya mapato kwingine na kufanikisha ila serikali ilitusaidia sana'' - Kidao Wilfred, Katibu Mkuu TFF.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava