Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tigana Lukinja aelekea Ghana kusaka vipaji

Jumatano , 11th Dec , 2019

Mchambuzi wa michezo kutoka East Africa Television na East Africa Radio Tigana Lukinja ambaye ni kocha wa soka, ameondoka nchini leo Desemba 11, 2019 kwenda nchini Ghana kwaajili ya mradi maalum wa kusaka vipaji vya soka, unaoratibiwa na Bundesliga.

Mchambuzi wa michezo Tigana Lukinja.

Tigana ameeleza kuwa wakiwa Ghana yeye na wenzake watasaka vipaji vya umri wa miaka 13-17 kwa Wasichana na Wavulana, kwa ajili ya Academy za Ujerumani.

'Kuna kitu Bundesliga wamekianzisha kwa ukanda wa Africa wanakiita 'Bundesliga Football School' ambapo mimi nimejumuishwa kwenye timu ya ufundi kusaka hivi vipaji vitakavyokwenda kupikwa kwenye Academy mbalimbali za soka nchini Ujerumani', amesema Tigana wakati anaondoka.

Aidha amebainisha faida za mradi huo kwa kusema, 'faida ni kubwa sana, ikiwemo mimi binafsi kuongeza ujuzi kwenye eneo la 'scouting' kimataifa, na baadaye nitaomba mradi huu ufanyike kwetu Tanzania'.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto