Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Timu ya taifa yaenda kusaka bao ugenini

Ijumaa , 20th Apr , 2018

Timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 Ngorongoro Heroes imeondoka nchini alfajiri ya leo kuelekea DR Congo tayari kwa mchezo wa marudiano kuwania kufuzu AFCON huku ikiwa na kazi ya kuhakikisha inafunga mabao.

Msafara huo umejumuisha wachezaji 21 na viongozi saba, ikiwa kamili kwaajili ya mchezo wake huo dhidi ya vijana wenzao wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Katika mchezo wa kwanza uliopigwa jijini Dar es salaam ulimalizika kwa sare ya bila kufungana.

Baada ya kufika Ngorongoro Heroes inayofundishwa na kocha Amy Ninje, itafanya mazoezi leo jioni pamoja na kesho asubuhi ambapo itafanya mazoezi ya mwisho tayari kwa mchezo utakaochezwa Jumapili Aprili 22,2018.

Kabla ya safari kocha Ammy Ninje amesema maandalizi yanaridhisha na vijana wamepokea vyema mafundisho yake ikiwemo mfumo mpya wa namna ya kucheza na DR Congo ugenini.

Endapo Ngorongoro itaibuka na ushindi na kusonga mbele, itakuwa imetinga hatua ya pili ya michuano hiyo ambapo itasubiri kupangiwa timu ya kucheza nayo na endapo itashinda mchezo huo itakuwa imefuzu kwa fainali hizo za vijana Africa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto