Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Timu zatambiana studio kuelekea 16 bora wikiendi

Jumatano , 4th Sep , 2019

Kuelekea katika hatua ya 16 bora ya michuano ya Sprite Bball Kings 2019 wikiendi hii, Septemba 7 na 8, timu mbalimbali ambazo zimefuzu hatua hiyo zimeendeleza tambo.

Miongoni mwa wawakilishi waliozungumza, kulia ni timu ya Mchenga

Kwenye ziara yao katika studio ya East Africa Radio leo, wawakilishi mbalimbali wa timu hiyo wameendelea kutambiana, ikiwa zimebaki siku mbili kabla ya kivumbi cha hatua ya 16 bora kufanyika katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay, Dar es Salaam.

Baadhi ya wawakilishi hao ambao wamezungumza leo ni nahodha wa mabingwa watetezi wa michuano hiyo msimu uliopita Mchenga Bball Stars ambaye ni Mudi alikuwa studio katika kipindi cha East Africa Breakfast pamoja na mwakilishi wa wapinzani wao Temeke Heroes kama inavyoonekana hapa chini.

Kwa upande wa mwakilishi wa Temeke Heroes aliyejitambulisha kwa jina la Tonge Masta akamjibu Mudi ambapo amesem,

Aidha, mwakilishi wa Wagalatia ambaye alifanyiwa mahojiano katika kipindi cha Supa Mix leo, alijigamba kuwa wako vizuri kuelekea mchezo wao wa Jumapili, Septemba 8 dhidi ya KG Dallas, amesema,

Ratiba nzima ya michezo ya hatua ya 16 bora wikiendi hii ni kama inavyoonekana hapa chini.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava