Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Huu ndiyo ushindani tuliyokuwa tunautaka- Manaseh

Alhamisi , 17th Aug , 2017

Kamishna Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini Tanzania (TBF), Manaseh Zabron amefunguka na kudai upinzani uliyoonyeshwa na timu ya Mchenga BBall Stars na TMT katika game 2 fainali za Sprite BBall Kings ndivyo inastahili kuwepo.

Kamishna Ufundi na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini Tanzania (TBF), Manaseh Zabron.

Manaseh amebainisha hayo baada ya timu ya TMT kuweza kumchapa Mchenga BBall Stars kwa pointi 87-78 katika mchezo wa 'game 2' fainali za Sprite BBall Kings zilizofanyika jana jambo ambalo wengi hawakutegemea kama timu hiyo ingeweza kuwika mbele ya Mchenga BBall Stars.

"Kiukweli mabadiliko yamekuwa makubwa katika mechi ya jana, tulitegemea watapigwa sweap leo pamoja na Jumamosi lakini tumeonyeshwa taswira ya tofauti na watu walivyokuwa wametegemea. Kwa maana hiyo fainali hizi zitakwenda mpaka 'game 4",alisema Manaseh

Pamoja na hayo, Manaseh ameendelea kwa kusema "kama walivyokuwa wanajiuliza TMT mara ya kwanza walipofungwa katika fainali hizi nayo Mchenga BBall Stars itaenda kujiulia ni jambo gani kimemtokea mpaka amepoteza mchezo, naamini watakapo kutana Jumamosi katika game 3 itakuwa mechi nzuri kwa kuwa timu zote zitaitaji zishinde ili ijiweke katika nafasi nzuri ya ushindi".

Kwa upande mwingine, Manaseh amesema angependa fainali za sprite BBall Kings ziende mpaka katika 'game 5' ili iweze kuleta radha nzuri ya mchezo wa mpira wa kikapu.

Timu ya TMT na Mchenga BBall Stars zitakutana tena tarehe 19 mwezi huu katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam ambapo mpaka sasa timu zote zimepoteza mchezo mmoja na kupata mmoja kwa kila timu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava