Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TMT walitucheleweshea ubingwa- Muddy

Jumanne , 5th Sep , 2017

Nahodha wa timu ya Mabingwa wa Sprite BBall Kings 2017, Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' amefunguka na kudai kuwa ushindi ulikuwa wao tokea awali ila wapinzani wao TMT waliwachelewesha kukabidhiwa kikombe chao katika fainali hizo.

Nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' (kushoto) akiwa na mchezaji bora Rwahabura Munyangi

Muddy ameeleza hayo wakati akizungumza katika kipindi cha Kipenga kutoka East Africa Radio na kusema wanafurahia kuwa mabingwa wa kwanza Tanzania katika mashindano ya Sprite BBall Kings.

"Tumefurahia sana kwa kuweza kuwa mabingwa wa Sprite BBall Kings 2017 lakini tokea awali mimi kama nahodha nilisema TMT, wanachelewesha tu ila wanatambua kuwa ushindi ni wetu. 'Game' ilikuwa nzuri, tunamshukuru pia Mwenyezi Mungu kwa sisi kuibuka washindi pamoja na mashabiki wa timu zote kwa sababu bila ya wao mwaka huu mashindano ya Sprite BBall Kings yasingefanikiwa lakini yameweza kufanikiwa kwa ajili yao walivyokuja kutu-support", amesema Muddy.

Pamoja na hayo, Muddy aliendelea kwa kusema "tunaomba mwakani mashindano haya yawepo tena, tutakuja kama mabingwa watetezi wa mashindano ya Sprite BBall Kings ili kuweza kutetea ubingwa wetu", amesisitiza Muddy.

Kwa upande mwingine, Muddy amewashukuru waandaji wa michuano hiyo ya Sprite BBall Kings ambao ni EATV LTD wakishirikiana na Sprite kwa kuweza kurudisha heshima ya mpira wa kikapu nchini Tanzania.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava