Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TPBO yang'aka mabondia wa kulipwa kulaumiwa

Alhamisi , 23rd Oct , 2014

Oganization ya ngumi za kulipwa nchini TPBO imesema ngumi za kulipwa ni ngumi zinazojitegemea hasa katika suala la uakilishi kwakuwa bondia anakwenda kama mtu binafsi na si timu kama ilivyo kwa ngumi za ridhaa katika michuano mbalimbali

Pochani kushoto Bondia Mtanzania Thomas Mashali bondia wa ngumi za kulipwa akiwajibika katika moja ya mapambano yake.

Rais wa TPBO Yasin Abdalah 'ustaadh' amesema mabondia wa ngumi za kulipwa wamekua wakipokea lawama pindi wanapopoteza mapambano yao wanayocheza nje ya nchi jambo ambalo si sahihi kwani mabondia hao wanakwenda kupigana wao binafsi na hawawakilishi nchi kama ilivyo kwa ngumi za ridhaa

Aidha Ustaadhi amesema amekua akisikitishwa sana na lawama anazosikia kupitia vyombo mbalimbali vya habari kwa wadau na baadhi ya wananchi hasa viongozi wa taasisi mbalimbali wakitupa lawama kwa mabondia mbalimbali wa ngumi za kulipwa ambao wamekua wakijigharimia wenyewe au kutegemea pesa za waratibu wa mapambano wanayoshiriki kwenda kupambana nje ya nchi na kwa bahati mbaya wanakua wakipoteza mapambano hayo

Ustaadhi amesema hakuna mtu anayetakiwa kumlaumu bondia kwa matokeo ya kupoteza pambano lake kwakua mabondia hao hawajapata msaada wowote kutoka kwa mtu yeyote hapa nchini hivyo kupiga kelele ama kumshutumu bondia kwa matokeo hayo ni kumwonea

Ustaadhi ameongeza amesema hata mabondia wanapokwenda nje ya nchi huwa wanajiwakilisha wao kwa maslai yao japo wanapotambulishwa wanatajwa nchi waliyotokea na hiyo haimaanishi kuwa anawakilisha nchi kwani matokeo ya mpambano huo katika ngumi za kulipwa ni faida na hasara kwa bondia husika na wala taifa halitahusika kwa namna yeyote katika pambano hilo na ndio maana hata wanapoondoka mabondia hao huwa hawakabidhiwi bendera ya taifa kama ilivyo kwa mabondia wa ngumi za kulipwa

Akimalizia Ustaadhi amesema ni wakati sasa kwa wadhamini, wadau na makampuni kujitokeza kudhamini ngumi za kulipwa katika suala la kuwaandaa kama ilivyokua zamani wakati wa kina Joseph Malwa, Rashid Matumla [snake Man] wakati huo akidhaminiwa katika maandalizi yake na Malinzi na hivyo kumfanya awike katika medani ya kimataifa na hapo inaweza kuwa fulsa ya mdau au hata mtu aliyemsaidia bondia kuweza kutoa lawama zake kwakua alimwezesha bondia husika na ameshindwa kufanya vema katika pambano lake.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto