Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Tujiandae kisaikolojia' - Etienne Ndayiragije

Jumapili , 4th Aug , 2019

Kaimu kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Etienne Ndayiragije amesema wamejipanga kuhakikisha kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kinafanya vizuri leo dhidi ya wenyeji Kenya katika kuwania kufuzu michuano ya CHAN.

Ndayiragije ametoa kauli hiyo baada ya kikosi cha timu kuwasili nchini Kenya kwa ajili ya kuivaa Harambee Stars baada ya mchezo wa kwanza timu hizo kutoka sare ya bila kufungana Jijini Dar es Salaam.

"Nimeona wachezaji wote wako vizuri kiafya na nimeongea nao, kwa sababu hii mechi tunahitaji kujiandaa kisaikolojia, kwa sababu tunahitaji kutumia nguvu nyingi. Tunaimani maandalizi yameenda vizuri na kila kitu kiko sawa.", amesema Etienne.

Kwa upande wake Rais wa TFF Wallace Karia, amesema wamewatimizia mahitaji yote ya kikosi cha timu ya taifa na wameridhishwa na ushirikiano wa benchi la ufundi na wachezaji, kilichobakia ni  kumuomba Mungu.

Mchezo wa kwanza uliopigwa jijini Dar es salaam Julai 24 katika Uwanja wa Taifa, Stars ilishindwa kutumia vema uwanja wake wa nyumbani lakini kupitia mchezo wa marudiano bado idadi kubwa ya wapenzi wa soka wanaipa nafasi kubwa Taifa Stars ya kuibuka na ushindi kwenye mnchezo huo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine