Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Udhamini ligi kuu bara bado hakijaeleweka

Jumanne , 14th Aug , 2018

Ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu wa 2018/19 inatarajiwa kuanza bila kuwepo kwa mdhamini mkuu kutokana na pande mbili ambazo ni Shirikisho la soka nchini TFF na wadhaini waliowasilisha ofa kutofikia muafaka mpaka sasa.

Nembo ya ligi kuu soka Tanzania bara

Akiongea na www.eatv.tv mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Boniface Wambura amethibitisha kuwa ligi hiyo itaanza bila mdhamini mkuu huku akiweka wazi kuwa maongezi na makampuni mbalimbali yaliyoomba kudhamini ligi kuu kwa msimu  ujao hayajakamilika.

''Kalenda ya mashindano imeshafika na ligi inatakiwa kuanza hatuwezi kusubiri mdhamini, akipatikana ataingia wakati ligi inaendelea ila kwasasa tutakuwa na wadhamini wengine wadogo kama tulivyowatangaza'', amesema.

Ligi kuu soka Tanzania bara imekuwa chini ya udhamini wa kampuni ya simu ya Vodacom kwa miaka kadhaa lakini mpaka sasa kampuni hiyo na TFF hawajafikia makubaliano juu ya kuendelea au kutoendelea. Hivi karibuni TFF ilisaini mkataba na Benki ya KCB kama moja ya wadhamini wa ligi msimu ujao kwa dau la milioni 420.

Ligi hiyo inatarajia kuzinduliwa Jumamosi hii, Agosti 18 kwa mechi ya Ngao ya jamii itakayowakutanisha mabingwa Simba SC na mabingwa wa kombe la shirikisho Mtibwa Sugar mchezo ambao utapigwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Ligi yenyewe rasmi itaanza Agosti 22 kwa mchezo wa ufunguzi kati ya Simba SC dhidi ya Tanzania Prison ya Mbeya. Yanga wao watafungua msimu Agosti 23, ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu