Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UEFA yapanga muda wa kutambulisha VAR, msimu huu

Alhamisi , 8th Nov , 2018

Mfumo wa Msaidizi wa Video (VAR) unaweza kutambulishwa kwa haraka katika hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa ya msimu huu, UEFA ikisema imeamua kufanya uamuzi mwezi ujao.

UEFA yapanga kutambulisha VAR katika klabu bingwa Ulaya

Shirikisho hilo linaloongoza soka barani Ulaya lilisema mnamo Septemba kuwa VAR itaanzishwa kuanzia msimu wa 2019/20, lakini majadiliano yameendelea kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, majadiliano yanayoonesha nia ya kutambulishwa haraka zaidi mfumo huo tofauti na ilivyotegemewa.

Kulingana na taarifa ya BBC, hofu ya UEFA kutokana na makosa ya waamuzi katika michezo mbalimbali na mafanikio ya VAR katika Kombe la Dunia mwaka huu, ni moja ya vishawishi vikubwa kwa viongozi hao kufikiria upya suala la kutambulisha teknolojia hiyo.

Mjadala kuhusu VAR umeshika kasi hivi sasa baada ya Manchester City kupewa penalti katika mchezo wa klabu bingwa Ulaya Jumatano ya wiki hii dhidi ya Shaktar Donetsk baada ya Raheem Sterling kujikwaa chini wakati akiwa na lengo la kufunga bao.

Mafunzo na warsha kwa waamuzi yanaendelea Ulaya nzima hivi sasa,  lakini UEFA inaamini kwamba sasa kuna viongozi wa kutosha barani humo  ambao wanafahamu vizuri VAR baada ya kuanzishwa miaka 16 iliyopita.

Ligi Kuu ya soka nchini Uingereza EPL ndiyo ligi pekee kati ya ligi 'tano kubwa' za Ulaya ambayo bado haijaanza kutumia teknolojia hiyo. Bundesliga na Serie A ziliiingiza teknolojia hiyo kabla ya msimu wa 2017/18, na Ligue 1 na La Liga zilianza kutumia miezi 12 baadaye.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine