Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uganda haoo AFCON, Tanzania yanyemelea

Jumanne , 16th Oct , 2018

Timu ya taifa ya Uganda imejihakikishia kwa asilimia zaidi ya 90, kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika, AFCON 2019 nchini Cameroon, baada ya kushinda mchezo wake wa 4 kwenye kundi L dhidi ya Lesotho usiku huu. Matokeo hayo yanatoa ahueni kwa Tanzania ambayo nayo imeshinda.

Mbwana Samatta akijaribu kuwatoka wachezaji wa Cape Verde.

Kimahesabu Uganda ambayo imeshinda mabao 2-0 na kufikisha alama 10, sasa inahitaji alama 1 tu ili kufuzu vinginevyo ni lazima ipoteze mechi zake mbili dhidi ya Tanzania na Cape Verde, tena kwa idadi kubwa ya mabao tofauti na hapo tunaweza kusema Uganda wamefuzu.

Kwa upande wa Tanzania ambayo imecheza nyumbani kwenye uwanja wa taifa, imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 ambayo sasa yanaifanya iwe na alama 5, ikiwa katika nafasi ya pili huku ikihitaji ushindi katika mechi zake mbili dhidi ya Lesotho na Cape Verde.

Baada ya mchezo wa leo Waziri mwenye dhamana ya Michezo, Harrison Mwakyembe, ametoa pongezi zake kwa wachezaji na mashabiki. ''Taifa Stars leo mmetupa raha watanzania, mmeitendea haki bendera ya taifa na jezi yetu na uwanja wetu, nawapongeza wachezaji na mashabiki waliokuja uwanjani leo'', amesema Mwakyembe.

Msimamo wa Kundi L sasa unaongozwa na Uganda alama 10, Tanzania alama 5, Cape Verde alama 4 na Lesotho wakiwa na alama 2 mkiani.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava