Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uganda mdomoni mwa Ghana na Misri kombe la dunia

Jumamosi , 25th Jun , 2016

Timu ya Taifa ya Uganda katika CECAFA sasa wametupwa kundi la kifo na timu za Ghana na Misri ambazo zimekuwa zikizisumbua sana katika michuano ya CECAFA.

Timu ya taifa ya Uganda, maarufu The Cranes.

Timu ya taifa ya Uganda, maarufu The Cranes imepangwa katika Kundi E pamoja na Ghana, Misri na Kongo katika hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi.

Uganda ndiyo nchi pekee ya Afrika Mashariki na Kati, ukanda ulio chini ya CECAFA iliyobaki katika mbio za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Kundi A lina timu za Tunisia, Libya, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Guinea, Kundi B kuna Zambia, Cameroon, Algeria na Nigeria, Kundi C kuna Gabon, Mali, Ivory Coast na Morocco, wakati Kundi linaundwa na Senegal, Afrika Kusini, Burkina Faso na Cape Verde.

Mechi za kwanza za makundi zitachezwa Oktoba mwaka 2016 na mshindi wa kila kundi ndiye atakayefuzu kuiwakilisha Afrika kwenye fainali hizo.

Lakini wadau wa soka wanaitazama Uganda kama timu ambayo pamoja na kuchululiwa kama wasindikizaji ama wasiopewa nafasi kubwa [underdogs] katika kundi hilo lakini katika mpira hakuna timu ndogo hivyo lolote linaweza kutokea katika soka mchezo ambao mara nyingi umekuwa na matokeo yasiyotarajiwa na unamiujiza yake.

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi