Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uongozi Yanga waanza kukusanya jezi feki sokoni

Jumanne , 12th Nov , 2019

Uongozi wa klabu ya Yanga umeanza rasmi kutekeleza ahadi ya kudhibiti mapato ya klabu hiyo hasa kutokana na mauzo ya jezi.

Jezi feki za Yanga zilizokamatwa leo, Dar es Salaam

Viongozi wa Yanga wakiongozwa na Msemaji na Afisa Mhamasishaji wa klabu hiyo, Antonio Nugaz, ambapo wametembelea katika maduka mbalimbali ya Kariakoo, wakiungana na mtengenezaji na msambazaji wa jezi hizo, kampuni ya GSM.

"Hii tumeifanya leo pale Kariakoo mtaa wa Aggrey na Congo, baada ya kupata taarifa nikiwa ofisini na nilipigiwa simu na maintelijensia wa Yanga. Tumefanikiwa kukamata jezi feki za msimu huu na zile za zamani na mwenye duka ameonesha ushirikiano na sisi", amesema Antonio Nugaz.

"Tunawaomba wanachama na mashabiki wa Yanga kununua jezi 'origianal' za Yanga, jezi ya Yanga haitandikwi chini wala haitundikwi kwenye mti. Nunua kutoka kwa mawakala na wauzaji waliothibitishwa, isiwe mnalalamika tu kwamba Dante halipwi wakati pesa wanaochukua watu wachache ", ameongeza.

Msemaji wa Yanga amesema zoezi hilo litakuwa endelevu nchini ili kuhakikisha klabu inafaidika kutoka kwenye mauzo ya jezi halisi zinazozalishwa na kampuni iliyopewa kazi hiyo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto