Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ushindi wa Simba ulivyogusa maisha ya Msuva

Alhamisi , 21st Mar , 2019

Winga wa klabu ya Difaâ Hassani El Jadidi ya Morocco na timu ya taifa ya Tanzania, Simon Msuva, amesema ushindi wa Simba unawapa hamasa zaidi ya kushinda mchezo wa Jumapili dhidi ya Uganda ili kuendelea kujitengenezea sifa katika klabu zao.

Simon Msuva (katikati)

Akiongea leo kwenye kambi ya timu ya taifa Jijini Dar es salaam, Msuva amesema wao kama wachezaji wanaocheza nje ya nchi wanapata heshima kubwa kutokana na Simba kufanya vizuri kwenye Ligi ya Mabingwa ambapo hivi sasa wapo kwenye hatua ya Robo fainali.

''Taifa Stars ikishinda sisi tutaheshimika huko nje ukizingatia Simba nao wapo kwenye hatua nzuri hivyo sisi tunakuwa hatuchukuliwi poa tena, kwahiyo mchezo wa Jumapili ni muhimu sana'', amesema Msuva.

Aidha Winga huyo aliyewahi kutamba akiwa na Yanga, amewaomba mashabiki kuja uwanjani na kuwashangilia akiamini kuwa kelele zao zitawapa jukumu la kushinda na watapambana kulitimiza.

Msuva yupo kwenye msimu wake wa pili ndani ya Difaâ Hassani El Jadidi na ameshajihakikishia nafasi ya kucheza katika timu hiyo inayoshika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi kuu ya Morocco.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava