Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waamuzi sasa kuchezesha ligi bila 'stress'

Jumanne , 2nd Jun , 2020

Kuelekea kurejea kwa Ligi Kuu Tanzania bara Juni 13, Bodi ya Ligi Tanzania TPBL imesema imeshawalipa waamuzi wote kwa kushirikiana na TFF na kwamba haina deni lolote hivi sasa.

Mwamuzi wa VPL na kocha wa Yanga, Luc Eymael

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, TPBL imesema kuwa imeshawalipa jumla ya TZS 555,661,400 waamuzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili kwa msimu wa 2019/20.

Hiyo imekuja kufuatia kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa waamuzi wanaolalamikia kutolipwa stahiki zao kunakopelekea maisha kuwa magumu hasa katika kipindi hiki cha COVID-19.

Jitihada zilizofanywa na TPBL na Shirikisho la Soka Tanzania TFF zitasaidia kuweka mazingira sawa ya kimchezo na kuondoa au kupunguza vishawishi vya rushwa kwa waamuzi, kwani kumekuwepo na malalamiko ya baadhi ya waamuzi kushawishika kuingia katika rushwa kutokana na kutolipwa stahiki zao kwa wakati.

Ligi inatarajia kuanza Juni 13 kwa michezo miwili, Mwadui FC dhidi ya Yanga na Coastal Union dhidi ya Namungo FC huku ikisisitiza kuwa katika ligi zote tatu ni lazima mabingwa wapatikane.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa