Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachezaji wa Simba tumewalea sisi - Mtibwa

Jumatano , 18th Jan , 2017

Vinara wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, Simba SC leo watajaribu kusogea mbali na wapinzani wao katika mbio za ubingwa watakapokuwa wageni wa Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

Mechi ya Simba Vs Mtibwa, mzunguko wa kwanza

 

Msemaji wa Mtibwa Sugar Thobias Kifaru amesema, Simba wasitarajie jambo la ushindi kuwa jepesi kutokana na hali halisi ya kikosi cha Mtibwa Sugar kwa sasa na dhamira yao ya kutotaka kupoteza mechi.

Kifaru pia amesema Simba ni kama watoto wa Mtibwa kwa kuwa wachezaji wake wengi wametoka Mtibwa, hivyo wanawajua vizuri na watatumia udhaifu wa wachezaji hao kuwaadhibu.

"Simba tumewalea sisi, vijana wetu hao wako hapo, akina Shiza Kichuya, Mohamed Ibrahim, Mzamiru wote hao wamekuliwa kwenye mashamba ya miwa, tunajua udhazaifu wao" Amesema Kifaru.

Kocha Mkuu, Mcameroon Joseph Marius Omog amesema, dhamira yao ni kucheza kila mechi kama fainali kuhakikisha wanashinda.

Mara baada ya Yanga kushinda 1-0 dhidi ya wenyeji Majimaji mjini Songea mkoani Ruvuma jana, iliikaribia Simba kwa tofauti ya moja kutoka nne hivyo Simba leo watakuwa na jukumu la kupigania ushindi ili kurudisha 'gap' la pointi nne na kuendelea kuongoza vizuri mbio za ubingwa.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali