Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakongwe wa ligi kuu yawakuta msimu huu

Alhamisi , 13th Feb , 2020

Huenda ule utawala wa Singida United na baadhi ya vigogo wengine katika Ligi Kuu Tanzania Bara ukaelekea kukatika, baada ya kudumu kwa takribani misimu mitatu na zaidi.

Uwanja wa Taifa

Singida United bado haioneshi kujinasua kutoka mkiani, kwani mpakam sasa ina pointi 11 na imeshinda mechi mbili pekee kati ya 21 ilizocheza, ikipoteza mechi 14 na sare tano.

Msimu huu jumla ya timu nne zitashuka daraja moja kwa moja na timu mbili zikitakiwa kucheza hatua ya mtoano ili kubakia katika ligi endapo watashinda. Singida United ipo katika nafasi ya 20, Mbeya City  ipo katika nafasi ya 19, Mwadui FC nafasi ya 18 na nafasi ya 17 ikishikiliwa na Mbao FC.

Kuanzia timu iliyo nafasi ya 11 hadi ya 20 zipo katika hatari ya kushuka daraja kwani zimepishana kwa tofauti ya pointi 15, huku msimu huu ukishuhudiwa vigogo wengi wakiwa katika hatari hiyo.

Singida United, Mbeya City, Ndanda FC, Mtibwa Sugar, Tanzania Prisons na KMC ni miongoni mwa timu zilizo katika hatari hiyo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava