Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walichoahidi Flying Dribblers na Dream Chasers

Ijumaa , 13th Sep , 2019

Robo fainali ya michuano ya Sprite Bball Kings 2019 inaendelea wikiendi hii, ambapo wababe nane watapambana kuwania Shilingi milioni 10.

Sprite Bball Kings 2019

Michezo hiyo itapigwa katika Uwanja wa Ndani wa Taifa, Jumapili ya wiki hii, Septemba 15 ambapo mchezo wa kwanza, Flying Dribblers itacheza na Dream Chasers, K.G Dallas ikicheza na Water Institute, Tamaduni ikicheza na Ukonga Hitmen na mchezo wa Mwisho utashuhudia Mchenga Bball Stars ikipambana na TMT.

Wawakilishi wa Flying Dribblers na Mchenga Bball Stars wamezungumza kuelekea mchezo wao na malengo yao endapo watafanikiwa kushinda ubingwa.

Mwakilishi wa Dream Chasers Jovin Charles, amesema kuwa wamejipanga vya kutosha katika mchezo huo na kwamba wakifanikiwa kushinda milioni 10, watanunua vifaa vya 'Clinic' ya mchezo huo kwa ajili ya kuzunguka nayo mashuleni ili kusaka vipaji.

Kwa upande wa mwakilishi wa Flying Dribblers, Trofimo amesema kuwa kwenye hatua ya robo fainali atahakikisha anafunga pointi nyingi zaidi ya zile alizofunga katika hatua ya 16 bora, ili kuisaidia timu yake kuvuka hatua hiyo na endapo watashinda ubingwa, watatumia pesa hizo katika malengo tofauti.

"Tuna mpango tukishinda hiyo pesa kwanza tunagawana, halafu nyingine tunaweka kwenye mfuko wa timu ili mwaka huu tuweze kuanzisha 'academy' yetu. Tunafikiria zaidi kuwainua wale ambao wanatuangalia ili waweze kufikia kuwa kama sisi", amesema Trofimo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava