Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walimu kuundiwa bodi ya kuwadhibiti

Jumatatu , 21st Mei , 2018

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi William Ole Nasha, amesema Wizara yake iko mbioni kupeleka mswada Bungeni utakaotoa fursa ya kuundwa kwa bodi ya walimu itakayofanya udhibiti wa kazi za walimu nchini.

Ole Nasha ameyasema hayo Bungeni leo wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Mariam Kisangi,​ aliyeuliza juu ya hatua gani serikali inachukua hatua gani kwa baadhi ya walimu wa shule binafsi za msingi ambao huwarundikia maswali ya kazi za nyumbani wanafunzi.

''Tunatarajia mwaka huu kupeleka muswada bungeni ili kuunda Bodi ya Walimu itakayodhibiti ubora wa walimu kwa shule zote za serikali na binafsi na hii itaondoa walimu wote ambao hawana taaluma inayokubalika'', amesema Ole Nasha.

Katika swali lake Mbunge Mariam Kisangi alieleza juu ya wanafunzi kupewa maswali 100 hadi 1,200 ya kazi za nyumbani hali inayopelekea watoto kuogopa kwenda shule kwa kutomaliza kazi hizo au kulazimika kusaidiwa na wadada wasaidizi wa kazi za ndani.

Katika hilo Ole Nasha amesema walimu wote wanaofundisha shule za binafsi na serikali ni wale tu waliothibitika kuwa na viwango vinavyohitajika hivyo baada ya mswada huo jambo hilo halitakuwepo tena.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine