Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake 76 wamefariki dunia Mtwara

Jumanne , 19th Mar , 2019

Jumla ya wanawake 76 wamepoteza maisha mkoani Mtwara mwaka 2018, kutokana na kukabiliwa na matatizo ya uzazi ikiwamo kumwaga damu nyingi wakati na baada ya kujifungua.

Mratibu wa afya ya uzazi kwa Baba, Mama na Mtoto mkoani Mtwara, Rozaria Arope.

Hilo limebainishwa leo Machi 19, 2019 kwenye mkutano wa kujifunza na kufahamiana kwa wanawake wataaluma kutoka taasisi za umma na binafsi.

Mratibu wa afya ya uzazi kwa Baba, Mama na Mtoto mkoani Mtwara, Rozaria Arope, amesema vifo hivyo kwa wanawake ni kutokana na wengi wao kutofanya upimaji wa afya za uzazi.

Baadhi ya wanawake, wameeleza changamoto mbalimbali za kiafya wanazokabiliana nazo, ikiwemo suala la kutakiwa kupimwa virusi vya UKIMWI wanapohitaji vipimo vya saratani ya mlango wa kizazi, jambo ambalo linapelekea wengi wao kutofanya vipimo hivyo.

Wanawake hao wamekutanishwa na Shirika la Mlango wa Matumaini kwa Wanawake na Vijana, kwa lengo kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa wanawake.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa