Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watu watatu wauawa kwa risasi

Jumamosi , 9th Mar , 2019

Watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa kwa kupigwa risasi na askari polisi katika maeneo ya Murungushi Igogo jijini mwanza wakati wakijaribu kurushiana risasi na askari polisi waliokua doria.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Jumanne Muliro.

Kamanda wa Polisi mkoani humo Jumanne Muliro, amesema tukio hilo lilitokea eneo hilo la Igogo jirani na ghala la kiwanda cha Avant linalotumika kuhifadhi bidhaa za vipuli vya magari na vifaa vya ujenzi, huku majambazi wengine wakifanikiwa kukimbia baada ya kukaidi amri ya kujisalimisha.

Muliro ameongeza kuwa majambazi hao waliouawa walikuwa na silaha aina ya 'Shortgun' iliyokuwa na risasi 4, mapanga matatu, nondo moja, mkasi mkubwa wa kuvunjia milango na makufuli na pia funguo nyingi zinazotumika kufungulia milango, makufuli na droo za ofisi na maghala.

Kwa mujibu wa Kamanda Muliro, majambazi hao waliofariki wana umri kati ya miaka 30 hadi 35 na miili yao imehifadhiwa katika hospitali ya mkoa wa Mwanza Sekou Toure kwa uchunguzi na utambuzi zaidi.

Pia ameeleza kuwa watuhumiwa wengine wa ujambazi waliotoroka eneo la tukio wanasakwa kwa udi na uvumba ili watiwe nguvuni na jeshi la polisi.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA