Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wazazi Watakiwa Kuruhusu Watoto Kushiriki Michezo

Ijumaa , 4th Jul , 2014

Kocha wa vijana chipukizi wanaotarajiwa kushiriki michuano ya mpira wa wavu ya klabu bingwa ya mkoa wa Dar es salaam na ile ya shule za sekondari kutoka nchi za Afrika Mashariki Yusuph Mkarambati amesema kuna changamoto ya mahudhurio kwa wachezaji

Timu za Mpira wa Wavu zikipambana katika moja ya mchezo uliofanyika jijini Dar es salaam

Kocha wa vijana chipukizi wanaotarajiwa kushiriki michuano ya mpira wa wavu ya klabu bingwa ya mkoa wa Dar es salaam na ile ya shule za sekondari kutoka nchi za Afrika Mashariki Yusuph Mkarambati amesema kuna changamoto ya mahudhurio kwa wachezaji wanaotakiwa kufika kwa ajili ya kujinoa kujiwinda na michuano hiyo.

Mkarambati amesema hali hiyo imekuwa ikichangiwa na muingiliano wa ratiba za masomo kwa wachezaji hao ambao wengi wao ni wanafunzi wa shule mbalimbali.

Mkarambati amewataka wazazi kuwaruhusu watoto kuhudhuria mazoezi kutokana ili kufanya vizuri katika michuano hiyo mikubwa

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi