Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wenger kurejea kazi ya ukocha

Jumatano , 9th Jan , 2019

Meneja wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger anajipanga kurudi katika kazi yake ya ukocha, huku ripoti zikieleza kuwa ataifundisha Timu ya Taifa ya Qatar katika kuelekea michuano ya Kombe la Dunia la 2022.

Kocha Arsene Wenger

Wenger amehusishwa na tetesi kadhaa za kufundisha timu mbalimbali zikiwemo PSG, Real Madrid tangu alipoondoka Arsenal mwishoni mwa msimu uliopita, akisisitiza kuwa anahitaji changamoto mpya na kwamba Qatar inajipanga kuchukua fursa ya hali hiyo na kumvuta mfaransa huyo.

Kwa mujibu wa mtandao wa France Football, Qatar inajipanga kumnyakuwa kocha huyo kwaajili ya maandalizi ya michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2022 ambayo itafanyika nchini humo.

Habari za maslahi ya Qatar hutoka kwa Soka la Ufaransa, ambao wanasema kuwa Qatar ni nia ya kurekebisha timu yao ya kitaifa ya kuweka mbele ya Kombe la Dunia ya 2022.

Kocha huyo alinukuliwa miezi kadhaa iliyopita, akisema kuwa anatamani kurejea katika kazi yake mapema mwaka huu 2019 baada ya kuwa amepumzika kwa kipindi cha kutosha.

Arsene Wenger (69) alihudumu miaka 22 na klabu ya Arsenal, akiiongoza klabu hiyo kushinda mataji matatu ya EPL na mataji saba ya FA.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali