Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga kuvunja benki kumsajili Clatous Chama

Jumatano , 24th Nov , 2021

Vyanzo kutoka nchini Ghana vinaripoti kuwa, Klabu ya Yanga ipo tayari kutoa kiasi cha shilingi bilioni moja ili kumsajili kiungo wa zamani wa Simba SC, Clatous Chama anayekipiga kwenye klabu ya RS Berkaine ya Morocco.

(Kiungo Clatous Chama alipokuwa na Simba SC msimu uliopita)

Taarifa hizo zimeripotiwa kutoka kwa Mwanahabari wa michezo nchini Ghana, Micky Jr ambaye ameandika kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kuwa, pamoja na dau hilo lakini Chama yupo tayari kijiunga na Simba na sio Yanga.

Micky Jr ameandika kuwa; “Naelewa YangaSCwapo tayari kulipa kiasi kinacho karibia shilingi bilioni moja kwa Clatous Chama na wakala wake ili achague kujiunga nao na sio Simba SC”.

“Chama anataka kurejea Simba ambapo alichukuliwa kama mfalme. Mwenyekiti wa Simba alipokea simu kuyoka kwa Chama wiki mbili zilizopita” ameandika Micky Jr.

Taarifa hizo zimeshika kiasi kutokana na Chama kupata wakati mgumu wa kuzoea mazingira ya nchini Morocco jambo linalomfanya akose nafasi ya uhakika kwenye kikosi cha kwanza chini ya Kocha Florent Ibenge.

Chama amekosa michezo michezo mitatu mfululizo ya RS Berkaine huku miwili ya iliyopita alikuwa anatokea benchi ilhali Tuisila kisinda winga aliyetokea Yanga amekuwa akipata nafasi mara nyingi kucheza

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava