Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga na mchezaji watupiana mpira suala la madai

Jumatatu , 3rd Dec , 2018

Wakati klabu ya Yanga ikiwa Jijini Mbeya tayari kwa mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Tanzania Prisons leo, imeendelea kuwakosa wachezaji wake kadhaa akiwemo nahodha Kevin Yondani.

Kikosi cha Yanga

Yondani hajaichezea klabu yake ya Yanga tangu aliporejea kutoka katika kambi ya timu ya taifa 'Taifa Stars' mwezi uliopita, ambapo taarifa mbalimbali zinadai kuwa mchezaji huyo anadai stahiki zake, jambo ambalo klabu imelipinga.

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa klabu hiyo, Hussein Nyika, amefananua kuwa Yondani amebaki Jijini Dar es Salaam kumaliza matatizo yake binafsi ambayo yanamkabili hivyo hatocheza mechi ya leo.

Nyika amesema beki huyo mkongwe si kweli kuwa anaidai klabu bali ni mambo mengine yaliyosababisha ashindwe kusafiri na kikosi kuelekea Mbeya kwa ajili ya kipute hicho cha ligi.

"Ni kweli Yondani hajasafiri na timu, yupo Dar es Salaam kutokana na baadhi ya matatizo yanayomkabili na kuhusu kuidai Yanga si la kweli, ni mambo mengine tu yamesababisha asisafiri na timu," amesema.

Hivi karibuni Yondani aliwahi kukaririwa akisema kuwa ni kweli anaidai klabu yake lakini hiyo si sababu ya yeye kutoonekana uwanjani, akisisitiza kuwa atarudi kuitumikia klabu yake mambo yakikaa sawa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava