Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga SC yafika Mwanza, tayari kuivaa Mbao FC

Alhamisi , 27th Jan , 2022

Kikosi cha timu ya wananchi Yanga SC kimefika jijini Mwanza tayari kwa mchezo wa raundi ya 4 wa kombe la shirikisho Tanzania bara Azam Sports Federation Cup dhidi ya Mbao FC.

Mashabiki wa Yanga SC jijini Mwanza wakimlaki kocha Nasreddine Nabi uwanja wa ndge baada ya timu kufika

Yanga itashuka dimba siku ya Jumamosi Januari 29 kuchza dhidi ya Mbao FC mchezo utakaochezwa katika dimba la CCM kirumba majira ya Saa 10:00 jioni. Awali mchezo huu ulipaswa kuchezwa jijini Dar es salaam kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa lakini siku hiyo uwanja huo utakuwa na matumizi mengine hivyo wenyeji wa mchezo huu klabu ya Yanga ikachagua uwanja wa CCM Kirumba kama uwanja wao wa nyumbani.

Timu ya wananchi wanaelekea kwenye mchezo huu wakiwa na rekodi nzuri dhidi ya Mbao kwani kwenye michezo 5 ya mwisho waliokutana na Yanga wameshinda michezo yote ukiwemo mchezo wa mwisho timu hizi kukutana Machi 20, 2020 mchezo ambao Yanga ilishinda kwa mabao 2-1.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava