Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga wadai Simba imekwama, Simba yaibeza La Liga

Jumatano , 3rd Jun , 2020

Kupitia kipindi cha Kipenga Xtra, mashabiki wa Yanga na Simba wametambiana huku kila upande ukibeza uwekezaji wa upande mwingine, ambapo Yanga wanasema Simba imekwama na Simba wanabeza ushirikiano wa Yanga na La Liga.

Mashabiki wa Simba na Yanga

Wakiongea leo, katika kipindi hicho cha mashabiki kuanzia Saa 6:00 hadi Saa 7:00 mchana, mshabiki hao wameeleza mengi.

''Sisi Yanga hatuwezi kukosea wala kukwama kwenye mabadiliko yetu kama walivyokwama Simba, maana tunafuata taratibu zote na tuna watu makini ndio maana hata La Liga wamekubali kusaini na sisi kwenye hili'' - Timothy Levy, Shabiki Yanga.

Kwa upande wake shabiki wa Simba Aggy Daniel amesema, ''Watu wanamlisha maneno Mo Dewji kila akiandika kitu kuhusu kampuni wanasema Simba utadhani ana kampuni moja tu ya Simba, wakati ana makampuni mengi, me nadhani tuache kumlisha maneno''.

Naye Justine Joel wa Simba akaongeza kuwa, ''Suala la uwekezaji Simba hata ukienda miaka 10 mimi nitavumilia lakini muhimu Simba ipate ushindi tu na kwenda mbele hilo la uwekezaji tunawaachia walioko juu pale''.

Justine akamaliza kwa kusema, ''Haya mabadiliko ya Yanga yanayotajwa kuwa La Liga wanashiriki yananishangaza sana maana kwenye kusaini sikuona mwakilishi wa La Liga ila kulikuwa na Scarf za La Liga tu''.

Akijibu hoja hiyo ya Simba, shabiki wa Yanga Mohammed Mabesi akasema, ''Mimi nachojua, Yanga tutafanya kazi na La Liga kwa miaka mitatu na nusu wakitushauri kuhusu mfumo wa mabadiliko na wanachama watashiriki kuchagua sasa ni mfumo upi sahihi katika mependekezo yatakayotolewa''.
 

Zaidi Tazama Video hapo chini

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu