Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yaapa kuwatia adabu Simba kumsajili Morrison

Jumamosi , 8th Aug , 2020

Klabu ya Yanga maarufu kama wababe wa mitaa ya Twiga na Jangwani mchana wa leo Agosti 8, 2020,  kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii imesema kuwa imesikitishwa na kitendo cha Klabu ya Simba kumsajili Bernard Morrison.

Bernard Morrison

Katika barua ya wazi kwa umma uongozi wa Yanga umesema kuwa, unafuatilia kwa karibu suala hilo na pindi itakapobainika kuwa Simba imemsainisha Morisson basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa ili iwe mfano kwa vilabu vingine nchini.

Utata wa usajili wa kiungo huyu mshambuliaji machachari Bernard Morisson ama BM33 mpanda mipira, limekuwa likifukuta chinichini kwani upande wa Bernard Morrison haujaafiki mkataba wa miaka miwili unaoelezwa kuwepo kati yake na Yanga na kudai kuwa mkataba uliokuwepo baina yao ni wa miezi 6 na ulikwisha.

Suala hili lilifika hadi Shirikisho la Mpira wa miguu nchini ambapo Yanga walidai Morrison ni mchezaji wao, wakati huohuo Morrison anadai kuwa mkataba unaoonekana ni batili kwani sahihi iliyopo imeghushiwa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava