Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yabadili uwanja wa kuwaadhibia 'waarabu'

Jumatano , 29th Mar , 2017

Mabingwa watetezi wa Tanzania Bara Yanga wamesema mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika Kati yao na MC Alger ya Algeria utachezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam badala ya CCM Kirumba Mwanza

Kikosi cha Yanga

Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa amesema,kutokana na hali halisi ya Uwanja ikiwemo marekebisho yanayotakiwa kufanyika kabla ya mchezo huo utakaopigwa Aprili 08 mwaka huu wameamua mchezo huo uchezwe jijini Dar es salaam huku akiongeza kuwa watahakikisha wanajipanga ili kuweza kuwapelekea mashabiki wao baadhi ya mechi za kimataifa jijini Mwanza.

Amesema lengo la wao kutaka kuchezea uwanja wa CCM Kirumba lilikuwa ni kutaka kuwapa fursa mashabiki wa kanda ya ziwa nao wapate kuona hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. 

"Ni kweli tulipanga tukachezee Mwanza hatukuwa na lengo la kuwakimbia mashabiki wa Dar es salaam kwa kuwa hata huko tunao mashabiki hivyo tukataka watu wote wapate haki sawa isipokuwa tulitaka kubadilisha tu upepo na watu wengine wapate fursa, Yanga popote pale inaweza kucheza kwa kuwa ina 'funbase' kubwa". Alisema Mkwasa

Wakati huohuo Mkwasa amesema kikosi cha Yanga kimeingia kambini hii leo mara baada ya kumaliza mazoezi ya jioni kwa ajili ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Azam FC ikiwa ni muendelezo wa Michuano ya Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava