Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yanena kuhusu mabadiliko ya mfumo

Jumapili , 9th Feb , 2020

Uongozi wa klabu ya Yanga umezungumzia hatua iliyopo hivi sasa kuelekea mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo unaoendelea.

Uongozi wa klabu ya Yanga

Hayo yanajiri ikiwa ni wiki kadhaa tangu nguli wa mfumo wa soka la kisasa kutoka nchini Ureni, Antonio Domingos Pinto alipokuja nchini kwa ajili ya kuanza mipango ya mabadiliko ya mfumo wa klabu hiyo.

Akizungumzia juu ya mazungumzo yaliyofanyika baina ya uongozi wa Yanga na gwiji huyo, Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, Frederick Mwakalebela amesema kila kitu kinakwenda sawa na wameshafikia muafaka juu ya suala hilo.

Yeye alikuja kwa mazungumzo ya awali ikiwemo kuiona Yanga ambayo inahitaji kufanya naye kazi na sisi kumfahamu. Sasa kinachoendelea ni kuendeleza pale tulipoishia naye ila kila kitu kimekwenda vizuri,” amesema Mwakalebela.

Ikumbukwe Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Dkt. Mshindo Msolla aliahidi mwishoni mwa mwaka uliopita kuwa klabu hiyo itakamilisha mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji ifikapo Juni 2020.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA