Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatoa utaratibu

Jumanne , 13th Mar , 2018

Kuelekea mchezo wa marejeano wa ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya wenyeji Township Rollers ya Botswana na Yanga SC, idadi ya tiketi kwa timu ngeni imetolewa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu ya Yanga ambayo kikosi chake kimeondoka nchini leo kuelekea Gaborone, imeeleza kuwa kuna jumla ya tiketi 150 ambazo mashabiki wa mabingwa hao wa soka wa Tanzania wataingia uwanjani.

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Jumamosi hii Machi 17 kwenye uwanja wa taifa wa Botswana ambao una uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 22,000. Uwanja huo upo katikati ya jiji la Gaborone.

Kikosi cha Yanga kilichoondoka alfajiri ya leo kinaundwa na wachezaji 20  pamoja na viongozi 11 ambao wote kwa pamoja watakuwa na jukumu la kusaka ushindi wa kuanzia 2-0 au zaidi ili kupata nafasi ya kuingia hatua ya makundi.

Township Rollers ambayo ilishinda 2-1 kwenye mchezo wa kwanza, inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ya nchini humo, ikiwa na alama 46 katika mechi 20 sawa na Yanga yenye alama 46 katika mechi 21.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto