Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yazungumzia usajili mpya wa kikosi chake

Jumanne , 16th Oct , 2018

Uongozi wa klabu ya soka ya Yanga umefunguka kuhusiana na usajili wa timu yake dirisha dogo la usajili ya mwezi Disemba kwaajili ya kuimarisha kikosi kabla ya mzunguko wa pili kuanza.

Yanga ikiwa mazoezini

Katika mahojiano na www.eatv.tv, Katibu mkuu wa Yanga, Omar Kaaya amesema kuwa wao kama uongozi wa klabu hawana mamlaka rasmi ya kuamua nani anayetakiwa kusajiliwa.

Siwezi kulizungumzia hilo, liko chini ya mwalimu, ukifika muda husika ataleta majina ya wachezaji wa kuongeza au kama ataona hakuna umuhimu huo, amesema.

 “Lakini sasa ni mapema sana kulizungumzia kwasababu inategemea na ripoti ya mwalimu  itakapofika, sasahi ni mapema mno ”, ameongeza Kaaya.

Pia Katibu mkuu huyo amesema wachezaji walio majeruhi ni Juma Mahadhi pekee, Andrew Vicent ‘Dante’ na Juma Abdul wako vizuri na wanaweza kurejea dimbani muda wowote.

Yanga inatarajia kucheza na Alliance Fc ya Mwanza wikiendi hii katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara, mchezo utakaopigwa katika  uwanja wa taifa. Azam Fc inaongoza ligi mpaka sasa kwa alama 18 baada ya kushuka dimbani michezo nane huku nafasi ya pili ikishikiliwa na Mtibwa Sugar kwa alama zake 17 na Yanga ikiwa katika nafasi ya tatu kwa alama 16.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto