Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zahera aondoka, aomba asiulizwe chochote

Jumatatu , 11th Mar , 2019

Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera baada ya mchezo wa jana dhidi ya KMC ambapo Yanga ilishinda mabao 2-1, ameaga kuwa anaondoka nchini kuelekea kwao DR Congo.

Kocha Mwinyi Zahera akiwa na wachezaji wa Yanga.

Zahera anakwenda DR Congo kwaajili ya majukumu ya timu ya taifa ambayo yeye ni kocha msaidizi huku akisisitiza kuwa taifa lake lina mchezo mgumu sana dhidi ya Liberia kuwania kufuzu AFCON 2019.

''Naenda Congo, tupo na mechi ngumu sana, nisiulizwe chochote kuhusu Simba au Yanga nawaachia namba ya kocha msaidizi Noel Mwadila mtamuuliza yote mimi sitamjibu hata mtu mmoja'', amesema.

Zahera anaondoka nchini kesho Jumanne Machi 3, 2019, lakini hajaweka wazi kama anaondoka na mshambuliaji Heritier Makambo ambaye alitajwa katika kikosi cha wachezaji 40 wa awali kuelekea mchezo huo.

DR Congo ipo kundi G ambalo linaongozwa na Zimbabwe yenye pointi 8, Liberia yenye pointi 7 huku DR Congo wakiwa na pointi 6 wakati Congo Brazzaville wakiwa na pointi 5.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto