Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zidane aitamanisha Chelsea, atoa masharti haya

Jumatatu , 18th Feb , 2019

Kocha wa zamani wa Real Madrid, Zinedine Zidane amezidi kuitamanisha klabu ya Chelsea ambayo kwa mujibu wa tetesi mbalimbali inatafuta kocha mbadala wa Maurizio Sarri anayenukia kutimuliwa Stamford Bridge.

Zinedine Zidane

Tetesi kutoka mtandao wa BBC Sports, Zidane ametoa sharti la kupewa Pauni 200m za usajili ili aweze kuifundisha klabu hiyo.

Pia sharti lingine alilolitoa ni pamoja na kuhakikishiwa kuwa nyota wa klabu hiyo, Mbelgiji, Eden Hazard anapewa mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Zidane amekuwa nje ya uwanja tangu mwishoni mwa msimu uliopita baada ya kuisaidia Real Madrid kushinda Klabu Bingwa Ulaya mara tatu mfululizo na Klabu Bingwa ya Dunia.

Kocha Maurizio Sarri amekuwa na shinikizo katika klabu yake, juu ya matokeo yasiyoridhisha anayoyapata, ikiwemo kichapo kizito cha mabao 6-0 kutoka kwa Manchester City akatika mchezo wa EPL mwanzoni mwa mwezi Februari.

Katika miaka ya karibuni, Chelsea haijawahi kukaa na makocha wake kwa misimu mitatu mfululizo, ambapo tangu Jose Mourinho alipojiunga na klabu hiyo msimu wa 2003/04, jumla ya makocha 8 wamepita klabuni hapo.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA