Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zidane apewa listi ya 'mastaa' wa kutua Madrid

Jumanne , 12th Mar , 2019

Baada ya kocha Zinedine Zidane kurejea rasmi klabu ya Real Madrid kwa mtakaba wa miaka mitatu, Rais wa klabu amempa listi ya wachezaji wa kuanza nao katika usajili wa msimu ujao.

Rais wa Real Madrid, Florentino Perez (kushoto) akiwa na kocha Zinedine Zidane.

Akizungumza katika hali ya utani wakati wa utambulisho wa Zidane, Rais wa klabu, Florentino Perez amesema ana matumaini kuwa Zidane atakuwa ni daraja la kuwapata mstaa wa PSG, Kylian Mbappe na Neymar.

"Zidane ni Mfaransa, kwahiyo anaweza kufanya kitu fulani na Mbappe", amesema Perez na alipoulizwa ni nani atamchagua kumsajili kati ya Neymar na Mbappe, Perez akajibu "wote".

Real Madrid ilifikia uamuzi wa kumuondoa kocha, Santiago Solari kufuatia mlolongo wa kusuasua katika michuano mbalimbali, ambapo mpaka anaondoka, Real Madrid ilikua imesalia katika La Liga pekee ambapo inakamata nafasi ya tatu huku ikiondoshwa katika michuano ya Klabu Bingwa Ulaya na Copa del Rey.

Urejeo wa Zidane unaaminika kuwa unaweza kuwa sababu ya kuwavuta mastaa kutoka vilabu vikubwa barani Ulaya ambao wamekuwa wakihusishwa kujiunga na miamba hiyo, ni kwa sababu ya uhodari wa kocha huyo kuishi na wachezaji wake..

Licha ya Kylian Mbappe, mstaa wengine wanaohusishwa kujiunga na Real Madrid ni pamoja na Neymar, Eden Hazard, Christian Eriksen na Harry Kane.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto