Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vigogo walivyojifunga mabao mengi katika EPL

Alhamisi , 18th Oct , 2018

Suala la mchezaji au timu kujifunga bao ni moja kati ya vitu vibaya sana katika mchezo wa Soka.
Linapotokea tukio kama hilo, kila mmoja ni lazima atakutazama kwa namna yake, wapo watakaomtazama mchezaji kwa hasira na wapo watakaochukulia ni kawaida.

Klabu kubwa katika EPL

Zifuatazo hapa ni timu vigogo za ligi kuu soka nchini Uingereza na mabao ambayo zimejifunga mpaka sasa, katika historia ya ligi hiyo.

Everton (48), hii ni moja kati ya timu kongwe nchini Uingereza, ikiwa imeanzishwa mwaka 1888 kabla ya kugawanyika na kuunda timu mbili, nyingine ikiwa ni  Liverpool. Imejifunga jumla ya mabao 48 mpaka sasa katika historia ya ligi hiyo, ambapo mabao 6 kati ya hayo yakichangiwa na mlinzi Phil Jagielka.

Arsenal na Liverpool (39), timu hizi zinakamata namba tatu katika listi ya klabu zote zilizojifunga mabao mengi mpaka sasa kwenye historia ya EPL, zikiwa ni za pili katika listi ya vigogo waliojifunga mabao mengi. Mmoja wapo anaweza kuongeza idadi ya mabao hayo msimu huu.

Manchester City (37), Manchester City ya sasa ni tofauti na ya miaka kadhaa iliyopita, ilikuwa ni klabu ya kawaida ambayo haikuwa hata katika listi ya timu zinazohesabiwa katika kuwania taji la ligi, lakini sasa imeweza kuhimili makosa ya kutojifunga na kuwa moja ya klabu kubwa, bora na yenye mafanikio.

Manchester United (36), mashetani hao wekundu wanashika nafasi ya nne katika listi ya vigogo na nafasi ya nane katika listi nzima ya klabu zilizojifunga mabao mengi mpaka sasa, mabao 5 kati ya hayo 36 yakichangiwa na mlinzi mstaafu wa timu hiyo, Rio Ferdinand.

Chelsea (34), kabla ya bilionea, Roman Abramovic kuinunua klabu hiyo na kuifanya kuwa moja ya klabu kubwa na tajiri, mambo hayakuwa mazuri sana kiasi cha kuruhusu idadi hiyo ya mabao ya kujifunga. 

     

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu