Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

GSM kujenga uwanja jangwani

Jumapili , 11th Feb , 2024

Klabu ya Young Africans kupitia kwa Rais wake Eng. Hersi Said leo wametangaza kuwa mdhamini na mfadhili wa klabu hiyo Gharib Said Mohamed kupitia makampuni yake ya GSM atajitolea kushiriki kwenye ujenzi wa uwanja wa klabu hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari Injinia  Hersi ameweka wazi kuwa klabu hiyo itaanza ujenzi wa uwanja wao kwenye eneo la Jangwani ambali lipo karibu na makao makuu ya klabu hiyo.

“Baada ya mazungumzo ya muda mrefu na mfadhili na mdhamini wa klabu yetu, Gharib Said Mohamed , nipende kuwataarifa wanachama na mashabiki wa klabu yetu kuwa leo GSM ameridhia kwa dhati kushiriki kwenye kufanikisha ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Yanga katika eneo la makao makuu ya klabu yetu Jangwani, Jijini Dar es salaam,” amesema  Hersi.

 

Ni klabu tatu pekee nchini zenye viwanja vyake na klabu mbili ndizo zenye viwanja vinavyokidhi ubora wa kuchezea Ligi kuu kandanda Tanzania Bara.

Klabu hizo ni JKT Tanzania , Singida Fountain Gate na Azam fc . Ni Azam na JKT Tanzania pekee ndio zenye uwanja unaotumika kwa michezo ya Ligi kuu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine